Monday

TIVOL STUDIO

KWA SASA JIJINI MWANZA UNAWEZA KUREKODI NYIMBO ZA KITAMADUNI KWA GARAMA NAFUU. DIGKAZI WANAKAMILISHA KUFUNGA STUDIO ZA KISASA KWA KIWANGO CHA DIGITAL. WATAALAMU WETU, EMANUEL MBANDO NA MKURUGENZI WA RIVOL STUDIO WANAKAMILISHA KUFUNGA VYOMBO. STUDIO ZIPO NYASAKA.

Thursday

KWA NEEMA FM RADIO

NA SASA KWA NEEMA FM RADIO ITAANZA KURUSHA MATANGAZO YAKE KUTOKA KILOLELI JIJINI MWANZA. UTAIPATA KATIKA MASAFA YA 98.2 MHz FM KWA NEEMA FM INAANGAZA

Sunday


DIGKAZI
Digkazi ni Kifupi cha maneno "Kazi Tarakilishi" ni neno la kiswahili lenye maana ya kiingereza "digital works" hii ni kazi ya kujitolea kwa ajili ya kuwafunza wengi namna ya kukabiliana na ulimwengu wa tarakilishi tulionao hivi sasa.
Mwanzilishi wa maono hayo ni Emanuel Mbando ambae ni fundi wa mitambo ya Studio za Muziki na Redio.
Digkazi inalengo la kuwafanya wale wote wenye lengo la kuingia katika ulimwengu wa "digital" kuanza kujiandaa na mabadiliko yanayokuja kwa kasi.
Tunatoa ushauri kwa wenye Redio na Televisheni kwa ajili ya kuibadili mifumo yao ya utangazaji ili iendane na irushaji wa "DIGITAL" kwa kutumia Mtandao wa Satelite.

RADIO FIVE FM - ARUSHA

HABARI MAALUM COLLEGE - ARUSHA

KUTOKEA KUSHOTO NI SAMWELI MBUZANGA, EMANUEL DOMINICK, MAREHEMU LENGAI NELSON, ABDULLAH NA EMANUEL MBANDO

Emanuel Mbando

Bwana Emanuel mbando mwanzilishi wa DIGKAZI akiwa katika studio za Habari Maalum Media Jijini Arusha.

REDIO KARAGWE FM tena

COVER DESIGNING

HIZI NI BAADHI YA KAZI ZINAZOFANYWA NA DIGKAZI Marvalous Creation
KWA NEEMA FM NI REDIO MPYA INAYOTARAJIWA KUANZA KURUSHA MATANGAZO YAKE JIJINI MWANZA WAKATI WOWTE KUANZNIA SASA. digKAZI INAKAMILISHA KUFUNGA VIFAA VYA DIGITAL VILIVOAGIZWA KUTOKA NCHINI ITALIA.

SIFUNI MUNGU STUDIOS

SIFUNI MUNGU STUDIOS NI STUDIO MPYA ZA KUREKODI NYIMBO ZA DINI. STUDIO HIZI ZIMEFUNGULIWA JIJINI MWANZA. SMS ZINA MITAMBO YA KISASA YA DGITAL IKIWA IMEBORESHA KWA KUCHANGANYWA NA MTAMBO YA ANALOGY. STUDIO ZA SMS ZIMEFUNGWANA digKAZI TOKEA MWEZI WA KUMI NA MBILI MWAKA JANA. MPAKA SASA KWAYA NNE ZIMESHAREKODI NYIMBO ZAO. STUDIO ZA SMS ZINAMILIKIWA NA MR. NKWANDE.

Thursday

REDIO KARAGWE FM

Hizi ni studio za Redio Karagwe FM 91.4MHz. Ambako digKAZI walitemelea na kufanya kazi za kiufundi na kutoa ushauri.

Wednesday

KUTENGENEZA STUDIO

digKAZI inasaidia kutengeneza studio na kuondoa mwangwi na mvumo katika chumba.

digKAZI

digKAZI inajishuhulisha na shuhuli zote zinazohusu vifaa vya digital hasa studio za muziki na kuandaa vipindi vya redio.

Saturday

MAFUNZO YA KUREKODI

DIGKAZI inaandaa mfumo kwa njia ya mtandao ambapo unajifunza jinsi ya kuandaa muziki na Vipindi vya redio kurekodi na kuhariri kwa kutumia "sofware kama Adibe Audition , Nuendo na Cubase. Elimu hii itatolew bure.

Pichani ni
Emanuel Mbando
mwanzilishi wa
digKAZI

VYOMBO VYA MUSIC

digKAZI itakuwezesha kuagiza vyombo vya muziki na vifaa vya studio.

Huduma ya Kutengeneza Makava ya CD, DVD an Caseti

Huduma ya Kutengeneza Makava ya CD, DVD an Cassette. wawasiliane nasi kwa simu namba 0784582039

UCHORAJI

Kwa wale wote wenye kipaji cha KUCHORA kwa kutumia penseli wanakaribishwa kufanya nasi kazi. Wasiliana nasi kwa simu nambari 0784 582039

Marvalous Creation

DIGKAZI

Digkazi ni Kifupi cha maneno "Kazi Tarakilishi" ni neno la kiswahili lenye maana ya kiingereza "digital works" hii ni kazi ya kujitolea kwa ajili ya kuwafunza wengi namna ya kukabiliana na ulimwengu wa tarakilishi tulionao hivi sasa.

Mwanzilishi wa maono hayo ni Emanuel Mbando ambae ni fundi wa mitambo ya Studio za Muziki na Redio.

Digkazi inalengo la kuwafanya wale wote wenye lengo la kuingia katika ulimwengu wa "digital" kuanza kujiandaa na mabadiliko yanayokuja kwa kasi.

Tunatoa ushauri kwa wenye Redio na Televisheni kwa ajili ya kuibadili mifumo yao ya utangazaji ili iendane na irushaji wa "DIGITAL" kwa kutumia Mtandao wa Satelite.